Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makambo nje wiki sita

Jumatatu , 21st Nov , 2022

Mshambuliaji wa klabu ya Heritier Makambo atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki sita baada ya kugundulika amevunjika mfupa mdogo wa kifundo cha mguu.

Maneno hayo yamesemwa na Daktari wa Yanga, Moses Etutu kuwa vipimo vimeonyesha Makambo amepata jeraha hilo na itamchukua wiki sita kuwa nje ya uwanja akijiuguza.

“Alikuwa akilalamika sana kuwa anasikia maumivu makali akicheza, ikatulazimu kumfanyia vipimo na ikagundulika kuwa amevunjika mfupa mdogo kwenye kifundo chake cha mguu.

“Baada ya kugundua hilo tumemuanzishia ratiba ya matibabu ambayo inaweza kumchukua hadi wiki sita kuwa nje ya uwanja akiuguza jeraha lake,” amesema  Dokta Etutu.

kikosi cha Yanga kinatarajiwa kushuka dimbani  kesho Jumanne Novemba 22 mchezo  kucheza dhidi ya Dodoma Jiji na mchezo huo utakaochezwa saa 10:00 jioni katika uwanja wa Liti, Singida.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto