Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida Big Stars yaitambia Simba

Jumanne , 31st Jan , 2023

Uongozi wa klabu ya Singida Big Stars umejinasibu kupata ushindi na kuondoka na alama 3 mbele ya kikosi cha Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania unaotaraji kuchezwa Ijumaa Februari 3, 2023 kwa wanajivunia sajili za wachezaji wapya walizozifanya.

Wachezaji wa Singida Big Stars

Akiongea kwa niaba ya Uongozi wa Singida Big Stars, Afisa Habari wa klabu hiyo, Hussein Massaza ameiambia EATV kuwa, maingizo mapya yamewafanya imara zaidi hivyo wamejipanga kuondoka na alama 3.

''Hii haitakuwa mechi nyepesi. Itakuwa ni kama vita na kama nilivyosema kwamba kila mchezo una mipango yake na muda ukifika tutajipanga kwa mechi hiyo. Kwani lengo letu ni kuhakikisha tunashinda kushinda kila mchezo kwa kuwa huku hakutafutwi alama bali ushindi,” Amesema Massaza

Kwa upande wa wachezaji, kiungo wa timu hiyo, Kelvin Nashon amesema wachezaji wote wapo salama na wana morali kubwa ya kutaka kucheza mchezo huo na kuibuka na ushindi mbele ya mnyama Simba SC.

Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa duru la kwanza Ligi Kuu NBC Tanzania Novemba 9, 2022 ambapo walitoka sare 1-1. Singida Big Stars ipo nafasi ya 4 na alama 43 ilhali Simba SC ipo nafasi ya 2 ikiwa na alama 50 na kinara Yanga alama 56.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava