Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 4 Nina kaka 1 na dada 2
Ninaishi MB / KONGOWE na WAZAZI WANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa DANCE
Mimi nimesoma mpaka FORM 2
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: HAKUNA