Moto ukiteketeza bar ya The Cask
Joe amesema kuwa moto huo umegharimu kwa kiasi kikubwa maisha ya wafanyakazi pamoja na yeye kibiashara na kusema kwamba yeye kama mfanyabiashara anatambua uwepo wa hasara za namna hiyo na kwamba huo siyo mwisho wa bar hiyo bali ataanza upya.