Mwenyekiti wa mtaa huo Noel Ndasa amekiri kutokea kwa tukio hilo ambalo ni mara ya pili kutokea kwenye mtaa huo
Baadhi ya wakazi mtaa huo wanasema chanzo cha kuokota kichanga hiko yawezekana wakazi wanaohamia bila kutoa taarifa zao sahihi
Wananchi wa mtaa wa Mwatulole Halmashauri ya Mji wa Geita wameshtushwa baada ya kukuta kuku wakifukua kitu kinachosadikiwa kuwa ni kiumbe (Mimba iliyotolewa) na mtu asiyejulikana
Mwenyekiti wa mtaa huo Noel Ndasa amekiri kutokea kwa tukio hilo ambalo ni mara ya pili kutokea kwenye mtaa huo
Baadhi ya wakazi mtaa huo wanasema chanzo cha kuokota kichanga hiko yawezekana wakazi wanaohamia bila kutoa taarifa zao sahihi