Picha ya Msanii Jose Chameleone
Albamu hiyo ‘I am Joseph’ inatajwa kuwa ni kielelezo cha mafanikio ya zaidi ya miaka kumi kwenye safari yake ya muziki na ilikuwa itoke siku ya Uhuru wa Uganda Oktoba 9 mwaka huu lakini haikuwezekana kutokana na kuto kamilika kwa baadhi ya ngoma (4) ambazo zinapatikana humo.