Jumamosi , 7th Nov , 2015

Star wa muziki Amini ameeleza kuwa ukimya katika muziki wake umesababishwa na utaratibu wake wa kujipanga kwa umakini, na kutengeneza project kadhaa kabla ya kuamua, akishirikiana na timu yake juu ya kile wanachotaka kuachia kwa mashabiki.

Amini

Amini ameeleza kuwa, hivi karibuni atavunja ukimya wake, kazi nyingine ambayo anafanya kwa sasa ikiwa ni biashara ya kuandikia nyimbo wasanii wengine, binafsi akiwa pia anajiamini kuwa anaweza kukaa kimya na kutokupotea kwa muda anaotaka kutokana na kuamini kile anachokifanya.