Picha ya Harmonize na Kajala
MC Garab ameeleza hilo baada ya wachumba wakishavalishana pete hukaa muda mrefu bila ya kufunga ndoa mpaka pete kuozea kidoleni.
Zaidi mtazame hapa MC Garab akizungumzia hilo.
Mshereheshaji wa shughuli za mastaa na watu mbalimbali MC Garab amesema pete ya uchumba ya Harmonize na Kajalafrida isipite zaidi ya miezi mitano wawe wameshaona.
Picha ya Harmonize na Kajala
MC Garab ameeleza hilo baada ya wachumba wakishavalishana pete hukaa muda mrefu bila ya kufunga ndoa mpaka pete kuozea kidoleni.
Zaidi mtazame hapa MC Garab akizungumzia hilo.