Jumanne , 2nd Apr , 2024

Wakati wengine wakiamini mapenzi/upendo bila pesa unapungua Wizkid kwake haamini hivyo kwa sababu anaona pesa haiwezi kununua mapenzi.

Picha ya mwanamuziki Wizkid

Kupitia post yake mtandao wa X, staa huyo wa muziki Africa Wizkid ameandika “Pesa haiwezi kununua upendo/mapenzi”.

Post hiyo ya Wizkid imebua gumzo mitandaoni ambapo kila mtu anatoa comment yake ya anachokiamini kati ya pesa na mapenzi.