Bondia Francis Miyeyusho 'chichi mawe'.

4 Jul . 2016

Bondia Thomas Mashali.

28 Jun . 2016

Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Mizengo Pinda akiwakabidhi makombe washindi wa mchezo wa mapigano.

28 Jun . 2016

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.

17 Jun . 2016

Hussein Itaba akijifua tayari kumkabili Tamba jumamosi.

16 Jun . 2016

Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa wakiwa katika mazoezi.

10 Jun . 2016

Mohamed Ally enzi za upiganaji wake akiwa amemwangusha mmoja wa wapinzani wake wakati huo.

5 Jun . 2016

Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

16 Mei . 2016

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

15 Mei . 2016

Bondia Thomas [Mashali kushoto] akijifua na mkongwe Rashid Matumla.

13 Mei . 2016

Baadhi ya viongozi na wajumbe wa kamati ya mpito ya chombo cha ngumi za kulipwa nchini.

14 Apr . 2016

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi ya Tanzania wakiwasili baada ya kutoka nje walikoenda kushiriki moja ya mashindano.

28 Mar . 2016

Mabondia Ibrahim Tambwe kushoto na Said Mbelwa kulia wakitunishiana misuli.

25 Mar . 2016

Bondia Mfaume Mfaume kulia wa mabibo Nakozi gym Dar es Salaam akipambana na Cosmas Cheka wa Morogoro.

15 Mar . 2016

Bondia Said Mbelwa akijifua kujiandaa na mpambano wake dhidi ya Ibrahim Tamba.

14 Mar . 2016