Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.

28 Mei . 2016

Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.

28 Mei . 2016

Kocha Mkwasa akiwa na makocha wenzake na baadhi ya wachezaji wa Stars jijini Nairobi.

28 Mei . 2016

Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.

28 Mei . 2016

Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].

26 Mei . 2016

Mwamuzi Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam [katikati] akiwa na mabosi wa TFF.

23 Mei . 2016

Beki wa kulia wa timu ya soka ya Yanga, Juma Abdul.

22 Mei . 2016

Baadhi ya wanamichezo wa shule za Sekondari wakipita kwa maandamano katika moja ya michuano ya UMISETA.

21 Mei . 2016

Baadhi ya wanaridha wakichuana katika moja ya mashindano ya taifa.

17 Mei . 2016

Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

16 Mei . 2016

Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

15 Mei . 2016

Timu za Taifa za Vijana za Tanzania na Marekani zikiwa kwenye Uwanja wa Tilak Maidan, Vasco, Goa India kabla ya kuanza kwa mchezo.

15 Mei . 2016

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

15 Mei . 2016

Bondia Thomas [Mashali kushoto] akijifua na mkongwe Rashid Matumla.

13 Mei . 2016

Kocha Boniface Mkwasa akitoa maelekezo kwa wachezaji wa Taifa Stars.

13 Mei . 2016