ABDULL HASSAN HILLA
Jina La Utani:
SUPER THE DON
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
MCHEZAJI

Nimezaliwa mwaka 2000 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 5 nina kaka 3 na dada 1

Ninaishi ILALA KEKO na UBUNGO

Mtaani kwangu najulikana kwa SUPER THE DON

Mimi nasoma FORM ONE

Shughuli zangu za kila siku ( zaidi ya kucheza dansi) ni KUJISOMEA

Mafanikio katika Fani: 
Mafanikio katika kundi yamenisaidia sana kama kupata fedha kununua vitu mbalimbali
Year: