HUSSEIN SALEHE
Jina La Utani:
NAX NAX
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
KUTOA USHAURI

Nimezaliwa mwaka 1986 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 5 nina kaka 1

Ninaishi KIGAMBONI na WAZAZI

Mtaani kwangu najulikana kwa JINA LA PACHA

Mimi nimesoma mapaka DARASA LA SABA

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) MFANYABIASHARA

Mafanikio katika Fani: 
Mpaka sasa nipo kwenye kituo cha watoto wa mtaani nafundisha dance na sarakasi kidogo.
Year: