Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Usipodai risiti faini milioni 1.5”- TRA

Jumapili , 10th Jan , 2021

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, imewakamata watu 34 wakiwemo wafanyabiashara,wanunuzi wa bidhaa na watoa huduma mbalimbali kwa kosa la kutozingatia matumizi sahihi ya mashine za Kielektroniki(Efds) ambao wametozwa shilingi milioni 58,500,000 kama adhabu,

Kaimu meneja wa mamlaka ya mapato(TRA)wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Lewis Charles.

na kati ya hizo shilingi milioni 22,580,000 zimelipwa na milioni 35,920,000 zinategemewa kulipwa.

Hayo yamesemwa na Kaimu Meneja wa Mamlaka hiyo wilayani humo Lewis Charles, wakati akitoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha nusu Mwaka wa fedha 2020/2021. Aidha amesema, katika mwaka wa fedha 2020/2021 TRA wilaya ya Mbinga imepewa lengo la kukusanya shilingi bilioni 3.604 na malengo hayo yatafikiwa iwapo wananchi,wafanya biashara na wadau wengine watatoa ushirikiano kwa mamlaka hiyo.

Wanunuzi wote wa bidhaa mbalimbali hakikisheni mnadai risiti pindi mfanyapo manunuzi kwani ni haki ya msingi na kisheria kwa kila mnunuzi, na kutofanya hivyo ni kosa linaloweza kupelekea kupata adhabu kali ikiwemo kutozwa faini kati ya shilingi 30,000 hadi milioni 1.5”, amesema Lewis.

Amesema, mfanyabiashara atakayekamatwa kwa kosa la kutotumia mashine za Efds adhabu yake ni faini kuanzia milioni 3 na isiyozidi milioni 4.5 au kifungo cha miaka mitatu jela au vyote kwa pamoja kwa mujibu wa sheria za usimamizi wa kodi ya mwaka 2015.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali