Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya vyakula na vinywaji baridi yapaa

Jumatano , 8th Jan , 2020

Mkurugenzi wa Takwimu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ruth Minja, amesema kuwa bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa mwezi Disemba 2019, umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.3, kutoka asilimia 6.1 kwa mwaka ulioisha mwezi Novemba.

Picha ya Nafaka na vinywaji.

Hayo ameyabainisha leo Januari 8, 2020 wakati akitoa ripoti ya mwezi ya mfumuko wa bei, ambapo amesema, mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Disemba 2019, umebaki kuwa asilimia 3.8 kama ilivyokua kwa mwaka ulioisha mwezi Novemba 2019.

Katika hatua nyingine Ruth amesema, wastani wa mfumuko wa bei wa Taifa kutoka mwezi Januari hadi Disemba 2019, umepungua hadi asilimia 3.4, kwa mwaka 2019, kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka 2018.

Kwa upande wa nchi za Afrika Mashariki, katika mfumuko wa bei unaonesha kuwa, mfumuko wa bei kwa nchi ya Kenya kwa mwaka ulioisha Disemba 2019, umeongezeka hadi asilimia 5.82, kutoka asilimia 5.56, huku nchi ya Uganda mfumuko wa bei kwa mwaka ulioisha mwezi Disemba 2019, umeongezeka hadi asilimia 3.6, kutoka asilimia 3.0.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa