Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya Mawe ya Urembo

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo (Tarazo) ambayo hutumiwa katika kunakishi majengo mbali mbali walioko kawe beach jijini, Dar es salaam, wameiomba serikali kupitia wizara ya madini kupunguza gharama ya upatikanaji wa leseni ya biashara hiyo kwa kuwa  wanalazimika pia kulipa kodi,

Picha ya mfano wa Mawe ya Urembo.

pamoja na vibali vingine.

Watu wengi hupendelea kuyatumia mawe haya kama urembo katika ujenzi na mapambo kwenye maeneo mbalimbali jambo ambalo limechagiza kushamiri kwa biashara hiyo na kupelekea baadhi ya vijana wengi kujihusisha na biashara hiyo ambayo wanayotoa katika mikoa ya Tanga na Iringa.

Licha ya biashara hiyo kutajwa kuwa na baadhi ya changamoto lakini bado imeajiri vijana na kinamama ambao hujipatia riziki zao na kuendesha maisha ya kila siku huku wakishukuru serikali kwa kuwaacha katika eneo hilo kufanya biashara hiyo.

Aidha wamesema katika kikundi hicho ambacho kina zaidi ya vijana hamsini ambao wameunganisha mitaji wengine wakisafirisha huku Baadhi yao wakiponda kuziweka katika saizi tofauti kulingana na mahitaji ya wateja wao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali