Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dc Ilala aonya wabadhilifu kwenye Miradi.

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam limekemea vikali ubadhilifu wa vifaa vya Ujenzi kwenye miradi mbalimbali ya Jiji Hilo na kuziagiza kamati za ujenzi kufanya Udhibiti kikamilifu ili miradi hiyo ikamilike Kwa wakati na ubora uunaotakiwa

Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija.

Mkuu wa wilaya ya Ilala Ludigija katika ziara ya kukagua miradi  amesema kumekuwa na ujanja ujanja wa baadhi ya wakandarasi kufanya udanganyifu wakati wa kuagiza vifaa vya Ujenzi ikiwemo mchanga na kokoto  hivyo kukwamisha Kasi ya Ujenzi wa miradi Kwa wakati na  kuisababiashia serikali harasa ya kujenga mara mbilimbili

"Sasa tumeamua kupitia kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Ilala tutahakikisha tunafuatilia Kwa karibu miradi yote inayotekelezwa  ili ijengwe Kwa ubora kama mikataba inavyoelekeza" amese Ng'wilabuzu Ludigija-Mkuu wa wilaya ya Ilala

Ziara ya Kamati yavukinzi na usalama imefanyika Kwa siku mbili ambaoo imekagua Ujenzi wa vituo vya afya ambayo vinajengwa Kwa fedha za tozo,Ujenzi na upanuzi wa soko la kigogo fresh ambalo kinajengwa wa fedha za uviko sambamba na Ujenzi wa shule ya sekondari Liwiti ambayo inajemgwa Kwa mtindo wa ghorofa na mradi wake utagharimu zaidi ya shilingi bilioni 1.4

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil