Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV yakamilisha hivi wiki ya huduma kwa wateja

Ijumaa , 9th Oct , 2020

Kituo cha redio cha East Africa Radio, kupitia kipindi chake cha Supa Breakfast kwa kushirikiana na Royal Oven Bakery leo wamekamilisha kampeni ya kutoa zawadi kwa watoa huduma bora ambapo imekabidhi makapu mawili kwa Mwalimu pamoja na Daktari kutoka hospitali-

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery, Dkt. Ahmed Mussa Kashagama (Kash) Daktari bingwa wa Wanawake kutoka hospitali ya Rabinsia (kulia), pamoja na Mwl. Vicent Mganga kutoka shule ya msingi na awali ya Divine iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, kwa niaba East Africa TV na East Africa Radio katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja.

ya Rabininsia ya Jijini Dar es Salaam.

Kampeni hiyo ya kuwazawadia watoa huduma bora katika Wiki ya Huduma kwa Wateja iliendeshwa kupitia wasikilizaji wa East Africa Radio ambao walipiga simu na kuelezea namna ambavyo dawati la kutoa huduma kwa mteja katika taasisi husika lilivyosaidia kutatua tatizo lao.

Akizungumza baada ya kupatiwa kapu hilo Mwalimu Vicent Mganga kutoka shule ya msingi na awali ya Divine iliyopo eneo la Salasala nje kidogo mwa Jijini Dar es Salaam, amesema kuwa ualimu ni wito na kuwataka walimu wenzake kufanya kazi kwa upendo kwa wanafunzi.

Kwa upande wake mshindi wa pili kwa hii leo ambaye ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake kutoka hospitali ya Rabininsia, Dkt. Ahmed Mussa Kashagama (Kash) amesema kuwa kazi ya hudumu ya afya haiishii tu kumpa mgonjwa dawa bali kuhakikisha anakuwa na afya njema.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali