Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hii ndiyo wilaya yenye Bei kubwa ya Mafuta

Jumatano , 6th Jul , 2022

Licha ya serikali kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 ili kupunguza bei ya mafuta nchini Tanzania wakati bei ya soko la dunia ilipopanda, bei za rejareja za mafuta nchini hapa zimepanda tena, ambapo Wilaya yenye gharama kubwa zaidi ya mafuta nchini Tanzania ni Kyerwa

Kyerwa inaongoza kwa bei kubwa ya mafuta

Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, inapakana na Rwanda na Uganda, ambapo lita moja ya petroli sasa inagharimu Sh3,458, dizeli Sh3,381 na mafuta ya taa Sh3,676 kwa lita. Mwezi Juni Kyerwa bei ilikuwa Sh3,539 kwa Petroli na Sh3,232 kwa dizeli.

Waendesha magari Jijini Dar es salaam wameanza kununua mafuta kwa bei mpya kuanzia leo Julai 6, 2022, lita moja ya petroli inanunuliwa kwa Sh3,220, wakati lita moja ya dizeli ikigharimu Sh 3,143 na bei ya rejareja kwa lita moja ya mafuta ya taa ikigharimu Sh3,442.

Bei hizo mpya zilitangazwa Jumanne, Julai 5, na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) ikiwa ni takribani mwezi mmoja tangu kuanza kutumika kwa bei mpya baada ya ruzuku Juni 1, 2022 ambapo petroli ilishuka hadi 2,994 kutoka 3,301, diseli 3,131 kutoka 3,452 kabla ya ruzuku, wakati mafuta ya taa yalibakia 3, 299 kabala na baada ya luzuku ingawa kuanzia Julai 6, lita moja ya mafuta ya taa ni 3, 442 ikiwa ni ongezeko la Sh 143.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali