Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hofu ya uwekezaji kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba

Jumatatu , 20th Jul , 2020

Wadau na wafanyabiashara waliowekeza katika masoko ya mitaji na dhamana wameondolewa hofu kuhusiana na mwenendo wa masoko hayo katika kuelekea msimu wa uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

Wadau na wafanyabiashara waliowekeza katika masoko ya mitaji na dhamana wameondolewa hofu kuhusiana na mwenendo wa masoko hayo katika kuelekea msimu wa uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

Akizungumza katika mahojiano na EATV iliyotaka kufahamu athari za msimu huo katika uwekezaji Meneja Miradi na Maendeleo DSE Leonard Kameta amesema katika uzoefu wa vipindi vilivyopita ikiwemo msimu wa janga la Covid-19 athari zake zimeendelea kuwa chanya.

Amesema kutokana na usimamizi bora uliofanywa na Rais Dkt. John Magufuli katika sekta mbalimbali bado wawekezaji wa ndani na nje umeendelea kuwa imara wa biashara Tanzania na kuwahimiza wafanyabiashara kuweka mikakati bora ili kukua kiuchumi na kuongeza mapato.

“Serikali imefanya jitihada kubwa kama tulivyoona kipindi cha Corona kutofunga maeneo ya biashara na kutozuia mikusanyiko suala hilo limeleta athari chanya katika uchumi wa nchi ukilinganisha na mataifa mengine,imani yangu hata kipindi cha uchaguzi uchumi utaendelea kuimarika” alisisitiza Kameta

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali