Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maafisa mipango,serikalini tekelezeni mipango

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Lawrence Mafuru amewataka wanamipango kutekeleza mipango inayoonekana na yenye mafanikio Ili kuweza kufanikisha dira ya mendeleo ya miaka mitano ijayo itakayowezesha mabadailiko ya kiuchumi,na kijamii Kwa kizazi kijacho.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Lawrence Mafuru

Mafuru ametoa Kauli hiyo wakati akizungumza na maafisa mipango,watakwimu,wanademographia kutoka taasisi mbalimbali za wizara ya fedha na mipango ambao wanahusika katika uaandaji ,utekelezaji na na kutoa tathimini ya mipango mbalimbali.

Amesema ni muhimu kuwa na mabadailiko ya kijamii na kiuchumi kwa kizazi kijacho hivyo wanapopanga wawe na mipango yenye uhalisia itakayolenga kutatua changamoto mbalimbali za wananchi hususani kizazi kijacho.

“Nataka kuona kada ya mipango ni muhimu Sana katika mustakabali wa taifa hivyo Ili kuiwezesha tasnia hiyo kutoa mchango stahiki wanamipango ni budi kuwa na taarifa zote zinazotokea nje ya nchi Ili kukabiliana na changamoto mbalimbali katikà utekelezaji wa mipango yao”.alisema Lawrence Mafuru

Kwa upande wake kamishina wa idara ya mipango ya kitaifa wizara ya fedha na mipango Dokta Musali Milanzi amesema kongamano hilo litawajengea uwezo wanamipango kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mabadailiko ya idadi ya Watu Ili kuweza kuleta mabadailiko ya kiuchumi,kijamii.

Hata hivyo Mafuru amebainisha kuwa nchi Iko katika hatua ya mwisho ya utekelezaji wa dira ya taifa ya maendeleo ya mwaka 2020_2023 na tayari maandaizi ya dira mpya ya maendeleo yameanza Ili kutoa mwelekeo mpya wa nchi Kwa miaka 25 ijayo.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya