Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mradi wa mabilioni kutekelezwa Dar Es Salaam.

Jumatatu , 5th Jun , 2023

Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imetenga zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa ajili ya kutengeneza barabara za kiwango cha lami kwenye majimbo matatu ya Ilala, Ukonga na Segerea.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji hilo Mhandisi Amani Mafuru amesema wametekeleza  agizo la serikali la kutaka Halmashauri zitenge asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya miundombinu na wamefanikiwa kwenye agizo hilo ndio maana utekelezaji umeanza mara moja.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Dar es salaam Omary kumbilamoto amewataka wakandarasi waliopewa zabuni hiyo kufanya kazi kwa kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati Pia ametoa angalizo kwa wakandarasi kutotumia vibaya mamlaka walizopewa.

Naye Mkuu wa Wilaya Ilala Edward Mpogolo  amezitaka pande zote zitakazohusika kuzingatia makubaliano yaliyo kwenye mkataba ili kusiwe na kikwazo.

Wawakilishi wa kampuni zilizopewa dhamana ya matengenezo ya barabara hizo wamesema watazingatia masharti yaliyopo kwenye mkataba na watajitoa zaidi ili kuepeuka kukwamisha mradi huo.

Wakandarasi hao wamepewa kipindi cha miezi sita kukamilisha ujenzi huo ambapo kazi ya usimamizi wa mradi huo utasimamiwa na TARURA kwa kushirikina na Halmashauri ya jiji.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi