Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua Dar, mbogamboga zimesombwa na maji

Jumatano , 14th Oct , 2020

Baada ya mvua kubwa kunyesha jana Jijini Dar es Salaam, imepelekea mboga za majani kuadimika sokoni leo hali iliyopelekea fungu moja la matembele kuuzwa kati ya mia tisa hadi elfu moja na mia mbili, huku mchicha na maboga ukiuzwa shilingi 500.

Mboga za majani zikiwa Sokoni.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao wamesema kuwa kutokana na mabonde kujaa maji mboga zimeadimika leo Jijini Dar es Salaam na kwa siku ya kesho wanategemea mboga kutoka mikoa ya Morogoro na maeneo jirani.

Aidha, wafanyabisahara hao wamesema kuwa, kutokana na kukosekana huko kwa mbogamboga kumepelekea malalamiko kwa wateja kwa kuwa bei zimepanda ghafla.

"Mvua ya jana imeleta maafa mpaka kwa wafanyabiashara wa mboga za majani, mboga nyingi zinalimwa sehemu zenye mabonde hivyo zimebebwa na maji na kwa wiki hii mboga tutategemea kutoka Morogoro na maeneo jirani", amesema mmoja kati ya wafanyabiashara hao Sophia Robert.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi