Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Precision Air kuanza safari zake za Mbeya

Ijumaa , 27th Mar , 2020

Shirika la ndege la Precision Air limetangaza kurejesha rasmi safari zake za ndege mkoani Mbeya, kupitia uwanja wa Ndege wa Songwe, huku lengo likiwa ni kuhakikisha linaiunganisha Tanzania katika utoaji wa huduma wa usafiri wa anga.

Ndege ya Precision Air

Taarifa hiyo imetolewa na Meneja Mahusiano wa shirika hilo Hillary Mremi, ambaye amesema kuwa safari hizo zitaanza mapema mwa mwezi Aprili mwaka huu na kwamba nauli zake ni nafuu ambazo zitamuwezesha mteja wake kupunguza gharama kwa ajili ya mahitaji mengine.

"Kuanzia Aprili 6 kutakuwa na safari za ndege za kila siku kwenda Songwe, ambayo ndege itatoka Dar es Salaam saa 3:40 asubuhi na itawasili Mbeya saa 5:30 asubuhi, na itageuza tena na kuwasili Dar es Salaam 7:50 mchana, tunafarijika kurejesha tena safari zetu"ameeleza Mremi.

Aidha katika kipindi hiki ambacho dunia inapambana kukabiliana na ugonjwa hatari unaosababishwa na Virusi vya Corona, shirika limekwishachukua tahadhari mbalimbali, ikiwemo kuhakikisha uwepo wa upatikanaji wa vitakasa mikono (hand sanitizers) kwa ajili ya abiria na wahudumu wa ndege.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali