Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sekta binafsi wakutana kuijadili bajeti.

Jumatatu , 19th Jun , 2023

Baadhi ya wafanyabiashara nchini kupitia sekta binafsi wameitaka serikali kuwa na uharaka katika maboresho ya sheria,kanuni na taratibu ambazo zimekuwa zikisimamia utendaji wa biashara nchini Tanzania ili kuweza kustahimili kwenye soko la ushindani.

Hayo yanajiri katika kongamano la pamoja lililowakutanisha wafanyabiashara kutoka sekta binafsi,wataalam wa maswala ya uchumi kutoka taasisi mbalimbali za kifedha kujadili kwa kina bajeti pendekezwa ya zaidi ya trilioni 44 iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa fedha Lameck Mwigulu Nchemba Bungeni Dodoma.

"Leo tumekutana zaidi ya wadau 100 kujadili mwongozo wa bajeti ambayo iliwasilishwa tumeangalia kwenye vipaumbele ambayo serikali imefanya hususani katika sera,mifumo,na kodi hivyo mjadala huu utasaidia wengi" amesema Raphael Maganga Kaimu mkurugenzi TPSF

Baadhi ya washiriki ambao pia ni wafanyabiashara na waagizaji wamesema kwa sasa mazingira ya biashara nchini yameimarika kutokana na serikali kutamani kuona sekta binafsi ikifanya biashara kwa ukubwa.

"Leo tumepata ufafanuzi mzuri rahisi kwa watalaamu wa fedha hii itatusaidia sisi kujua ni maeneo yapi tunaweza kupenya kirahisi zaidi." Amesema mmoja ya wafanyabiashara.

Hata hivyo baadhi yao wachumi na wataalamu wa fedha wamesema lengo ni kuifafanua bejeti hiyo kwa lugha nyepesi ambayo inaweza kumsaidia mfanyabiashara katika kuzifahamu taratibu za kikodi.

Bajeti pendekezwa ya Tanzania ilisomwa bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba siku ya alhamisi juma lililopita ikiwa na jumla ya shilingi trilioni 44.39

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi