Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuwainua kiuchumi vijana

Ijumaa , 6th Jan , 2023

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo na nakshi za majengo maarufu kama Tanga stone wameiomba Serikali kuwawezesha kimitaji kwa kuwapatia tenda mbalimbali za ujenzi kwenye miradi ya kiserikali ili kupata fursa ya kukuza mitaji na kujiinua kiuchumi.

Kwa takribani miaka 25 kijana aliyejitambulisha kwa jina la Abbas Abdalah amekuwa akijihusisha na uuzaji wa mawe ya urembo ambayo huyafata jijini Tanga na kuyaleta hapa jijini Dar es Salaam kisha kuyauza kwa matumizi mbalimbali ameeleza changangamoto za kibiashara anazokutana nazo ikiwemo udogo wa mtaji licha ya kupata oda kubwa za wateja ambazo hana

Amesema licha ya Serikali kutoa mikopo kwa baadhi ya makundi ya vijana yeye amekuwa akichengana na fedha hizo na hajawahi kuzipata hivyo sasa kuomba serikali iwatambue vijana wenye uwezo na mawazo kupata sehemu kwenye miradi ya kisekta ili kuwakuza kibiashara.

Pamoja na ugumu anaopitia katika biashara zake wapo vijana ambao amekuwa akiwashirikisha pindi anapopata tenda kubwa za wateja hivyo kuwa sehemu ya kipato chao

Tanzania inatajwa kuwa na rasilimali nyingi za asili ikiwemo Mawe haya ambayo huchimbwa ardhini yakiwa na uwezo wakutumiwa katika majengo tofauti tofauti.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa