Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi za fedha zatakiwa kutoa mikopo nafuu

Ijumaa , 30th Sep , 2022

Serikali kupitia Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imewataka wadau wa taasisi za fedha nchini kuongeza upatikanaji wa mikopo yenye riba nafuu kwa wajasiriamali wadogo na wa kati ili kuhakikisha kuwa wanapata mikopo yenye tija itakayowasaidia kuongeza mitaji yao na kukuza uchumi.

Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Exaud Kigahe

Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Exaud Kigahe, wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mikopo nafuu kutoka benki ya UBA ijulikanayo kama Mkopo Kitonga na kubainisha kuwa sekta ya wajasiriamali wadogo na wakati nchini ina mchango mkubwa wa kutatua changamoto ya ajira nchini.

Naye Mwenyekiti wa Bodi wa benki ya UBA, amesema bidhaa hiyo mpya ya mikopo waliyoizindua leo imejali wateja wake na wajasriamali ambapo itasaidia kupata mikopo nafuu na kukuza mitaji ya biashara zao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi