Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA watakiwa kukusanya mapato halali

Jumanne , 26th Sep , 2023

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, amewataka Watanzania kuwa wazalendo zaidi katika kutoa na kudai risiti ya mashine za EFD ili kuhakikisha mapato ya nchi yanaongezeka na kusaidia kutekeleza miradi na huduma mbalimbali za kijamii.

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande

Naibu Waziri Chande, ametoa rai hiyo wakati akizungumza na wafanyabiashara wa Kata ya Kiusa, wilaya ya Moshi Mjini, mKilimanjaro, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo iliyolenga kutatua changamoto mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara mkoani humo na kuhamasisha matumizi sahihi ya mashine za kielektroniki (EFD).

"Lazima Watanzania tuwe na utamaduni wa kudai risiti tunaponunua bidhaa, na kutoa risiti tunapouza bidhaa, hii ndio chachu ya maendeleo ya nchi hii na itasaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo maji, shule na afya ifanyike kwa wingi," amesema Mhe. Chande.

Aliongeza kuwa, kila Mtanzania anapaswa kuwajibika katika kulipa kodi na kudai risiti halali ya kieletroniki kila wanapofanya manunuzi na ameitaka Mamlaka ya Mapato (TRA), kuhakikisha wanakusanya mapato halali bila usumbufu kwa wafanyabiashara.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari