Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ujenzi wa bomba la mafuta sasa ruksa kuanza.

Jumanne , 21st Feb , 2023

Waziri wa Nishati January Makamba ameielekeza mamlaka ya udhibiti wa Nishati na maji EWURA kuhakikisha inasimamia kikamilifu Ujenzi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa kipande Cha Tanzania kutoka Mtukura Mkoani Kagera Hadi Chongoreani jijiniTanga lenye urefu la kilometa 1147

Makamba ametoa maelekezo hayo wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi kibali Cha Ujenzi wa mradi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa Kampuni ya EACOP inayotekeza mradi huo ambao unapita kwenye mikoa nane ya Tanzania hara ikiwemo Kagera,Geita,Shinyanga, Singida,Tabora Dodoma na Manyala

Amesisitiza kuwa mradi huo umezingatia mikataba yote ya utunzaji wa mazingira na haki za binadamu hivyo ni lazima utekelezwe kwasbaabu unamanufaa makubwa ya kichumi katika nchi ya Tanzania na mataifa jirani Mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu ambapo shughuli za awali zimeshaanza kufanyika na mradi muhimu Kwa Tanzania ukigharimu Dola za kimarekani bilioni 4.5

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dkt James Andelile amesema baada ya kufanya tathmini ya kina kuhusu mradi huo mamlaka hiyo imejiridha ndiyo maana imetoa kibali rasmi Cha kuruhusu kuanza utekelezaji wa unezi wa Bomba la kusafirisha mafuta Kwa kipande Cha Tanzania kutoka Mtukura Hadi Chongoreani Tanga

Mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu ambapo shughuli za awali zimeshaanza kufanyika na mradi muhimu Kwa Tanzania ukigharimu Dola za kimarekani bilioni 4.5

Katika halfa hiyo imebainishwa kuwa Tayari shilingi bilioni 29 imeshatumika kulipa fidia Kwa wakazi waliopitia na mradi huo na taratibu za kufioa fidia zinaendelea hivyo serikali imewatoa hofu wote watakaopitiwa na mradi huo kuwa wataoata stahiki zao kikamilifu

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa