Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukweli kuhusu biashara ya vifaa ya ujenzi Tandale

Ijumaa , 4th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi na samani zilizokwisha tumika Jijini Dar es Salaam haswa katika eneo la Tandale jijini humo wamesema awali biashara hiyo ilionekana kama ya kihalifu lakini kwa sasa wanaishukuru serikali kwani usumbufu huo haupo tena kwao.

Eatv  leo imepita katika mitaa ya Tandale jijini Dar es Salaam na kushuhudia vifaa vingi vya ujenzi vilivyotumika ambapo akizungumza mfanyabiashara Ally Mkule ambaye ni mfanyabiashara wa muda mrefu sokoni hapo amesema kwa sasa ile adha ya kusumbuliwa na askari viongozi wa Halimashauri haipo tena jambo linalowafanya kuendesha  biashara hiyo kwa amani huku wakitengeneza faida kupitia biashara hiyo

Kwa upande wake Abdala Pazi amesema kuwa biashara hiyo kwa sasa imeshamiri katika maeneo mengi ya jiji amabzo zinahuisisha ununuzi wa bidhaa zilizokwishatumika na kusifu kutoa fursa za ajira kwa vijana wengi ambao wamejitenga na makundi ya uhalifu.

Aidha wafanyabiashara hao wa samani na vifaa vilivyotumika wamewataka wananchi kutokuwa na hofu kununua ama kuuza vifaa vilivyotumika kwani  serikali imewapa nafasi pekee ya mauzo ya bidhaa hizo kulingana na ubora wake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi