Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umoja wa Ulaya nkuboresha uwekezaji Tanzania

Ijumaa , 16th Feb , 2024

Mkuu wa Idara ya masuala ya Kiuchumi (Head of Governance and Economic Section) kutoka Umoja wa Ulaya (EU) Karina Dzialowska, amesema kuwa Umoja wa Ulaya  utaendelea kushirikiana na Tanzania katika masuala ya kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji.

Hayo ameyabainisha alipokutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida na kujadiliana kuhusu namna wanavyoweza kuendelea kushirikiana katika kuibua mikakati mbalimbali inayolenga kuongeza uwekezaji nchini.

Aidha Karina alibainisha uwepo wa fursa ya upatikanaji wa fedha kwa ajili ya uwekezaji katika miradi rafiki kwa mazingira (Green investment) ambayo itatokana na fedha zinazopatikana kupitia masoko ya mitaji kwa amana mahsusi kwa ajili ya miradi rafiki kwa mazingira (Green Bonds).

Vilevile, katika kikao hicho viongozi hao wamezungumzia  utekelezaji wa mpango wa maboresho ya mazingira ya Biashara na Uwekezaji (BLUE PRINT) unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kupitia mradi wa Business Environment Growth Innovation (BEGIN)
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari