Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vifungashio duni huwaathiri wajasiriamali.

Jumatatu , 26th Jun , 2023

Baadhi ya wafanyabiashara wanawake kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania wamesema changamoto ya uchache wa viwanda unawafanya kukosa vifungashio vya bidhaa na wengine kuvipata kwa gharama kubwa hali ambayo inaleta ushindani mkubwa sokoni kulinganisha na bidhaa zinazotoka nje.

Rai hiyo imetolewa na wafanyabiashara hao kutoka mikoa mbali mbali ya Tanzania ambao wamejisajili katika maonesho ya 47 ya kimataifa yanayoanza June 28 hadi July 13 ambapo wamekutanishwa na kujadili biashara wazingatie nini kabla wakati na maonesho na baadaya ya maonesho wawe na uwezo wa kufanya tathimini.

Awali akitoa mbinu za kibiashara Mkurugenzi kutoka chama cha wafanyabiashara wanawake Tanzania TWCC amesema wakiwa na Bidhaa nzuri,zimefungashwa kwenye vifungashio vyenye vigezo vya ndani na kwamba kwenye maonesho ushindani ni mkubwa.

"uchache wa viwanda vinavyozalisha vifungashia unafanya wajasiriamali wengi kukwama kufunga bidhaa zao vizuri wakiingia sokoni wanakutana na ushindani mkubwa sasa maonesho kama haya tujifunze kwa wenzetu tukiiga pia teknolojia ipi wanaitumia ili nasisi tukue kibiashara haya maonesho ni kimataifa"

Baadhi ya wafanyabiashara hao wamesema maonesho hayo kupitia banda la wafanyabiashara wanawake Tanzania imekuwa ni daraja la kuwakutanisha na viongozi wa serikali,wawekezaji kutoka nje sambamba na kuongeza ujuzi na mtandao.

Kwa mwaka huu wafanyabiashara wanawake kutoka mikoa mbali mbalimbali ya Tanzania wamepatiwa mafunzo ili kuleta ushindani kutoka kwa wawekezaji wa nje licha changamoto za vifungashio ambao bado wengi wanakabiliwa navyo katika biashara.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi