Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vifungashio tatizo kwa wafanyabiashara

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Mmoja ya kijana mjasiriamali anayejishughulisha na utengenezaji wa sabuni za mche pamoja na sabuni za maji dawa za kusafishia maliwatoni amesema wanapata wakati mgumu kusafirisha sabuni hizo umbali mrefu kutokana na vifungashio kuwa duni.

Hata hivyo amesisitiza ni vyema vijana wengi wakaacha kuilalamikia serikali na badala yake wajitokeze kujifunza mbinu ya kujisimamia wenyewe katika ujasiriamali ili kukuza vipato vyao.

Kuhusu Sera za Serikali katika biashara na viwanda amesema ni muhimu zikazingatia kuwakuza hasa wafanyabiashara wa ndani ili waweze kuwa na ushindani katika masoko makubwa na wafanyabiashara wanaotoka nje.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani