Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijiji 12 kupitiwa na mradi wa gesi Mtwara

Jumanne , 4th Oct , 2022

Vijiji kumi na mbili katika halmashauri ya Mtwara vinatarajiwa kupitishiwa bomba la gesi asilia la lenye urefu wa kilomita 35.

Mradi wa gesi asilia

Wananchi na wakazi wa vijiji hivyo wametakiwa kutoa ushirikiano kwa shirika la  maendeleo ya petroli  Tanzania ( TPDC) kwa ajili ya kufanya tathimini  ya mali, na  kulipwa fidia zao, kwa ajili ya kuanza utekelezaji  mradi huo.

Akizungumza  na wananchi wa Kijiji cha  Moma  kata ya Moma  wakati wa kutambulisha mradi huo, Mkuu wilaya ya  hiyo, Dustan Kyobya  amewataka wananchi kupokea mradi huo,  huku Emmanuel Simon meneja  gesi asilia  toka shirika la maendeleo ya petroli Tanzania,  akieleza namna ambavyo matumizi ya gesi asili yameongezeka kutokana na kuwapo kwa ukame hapa nchini.

Baadhi ya wananchi wakazungumzia uwapo wa mradi huo katika vijiji vyao, wamesema ni mradi muhimu na kwamba serikali na wawekezaji wajitahidi kuhakikisha vijiji vinavyopitiwa na mradi huo vinawanufaisha wakazi wa maeneo hayo kwa kutoa fursa za kujiingizia kipato kwa wenyeji.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa