Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara waaswa kuhusu rushwa

Jumatano , 12th Aug , 2020

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Kauli hiyo imetolewa na mmoja ya wafanyabiashara nchini ambao huusika na ukusanyaji wa madeni ya serikali bi Scolastica Kevela ambaye amewataka wafanyabiashara kutojihusisha na vitendo Hivyo kwa kuwa uzoefu uunaonesha wapo Watu wasiowaaminifu hukitumia kipindi hiki Cha Uchaguzi Mkuu kukiuka misingi ya kibiashara.

Aidha amesisitiza kuwa kwa Sasa ni vyema kutumia fursa zitakazotokana na uchaguzi huku akiwaasa wafanyabiashara wengine kuzidi kufanya uwekezaji bila hofu kwa kuwa Tanzania kihistoria imekuwa ikipita katika chaguzi zake bila Uvunjifu wa Amani.

Akihitimisha amewataka pia wananchi kuendelea kusimama imara ili kwa Pamoja kukua kiuchumi zaidi ya Uchumi wa Kati ambao Kama nchi imefikia kwa sasa "Uwekezaji uliopo bado una changamoto licha ya kuwa atakayestahimili katika biashara ni yule pekee mwenye msingi imara na anayezingatia kanuni za uwekezaji" alisema Kevela

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi