Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara waomba maboresho soko la ndani

Jumatano , 4th Mei , 2022

Baadhi ya wafanyabiashara mafundi wa bidhaa za asili za samani eneo la Mwenge Dar es Salaam wamesema ni vyema sasa taasisi husika ikiwemo maliasili wakaboresha soko la ndani Kwa bidhaa za viti meza ambazo huzalisha kupitia malighafi za ndani hususani katika kipindi hiki ambacho serikali in

Ukizunguka katika maeneo mengi ya hotel migahawa viti na meza hizi za asili  Jijini hapa imekuwa maarufu sana jambo ambalo limewapa nguvu vijana hawa kufanya uwekezaji wa utengenezaji bidhaa hizi za samani licha ya changamoto ya ushindani wa soko na bidhaa kutoka nje.

"Kusema ukweli Kuna baadhi ya vitu tunavitumia hapa vingi hutoka nje ya Dar es Salaam vingine huusisha misitu hivyo zipo changamoto ya kuvipata alisema  "Eliya Nicholas - fundi/mfanyabiashara.

Amesema bidhaa wanazozalisha hutumika popote nyumbani na hata kwenye sehemu za biashara hivyo kuiomba serikali ikiwemo watu wa maliasili kuona namna ya kuwasaidia kwa urahisi upatikanaji wa malighafi ikiwemo za misitu ambazo ndiyo malighafi kubwa.

"Biashara ni ngumu na tunategemea milunda kutoka porini hivyo katika kipindi hiki Cha mvua malighafi zinkuwa shida kuzipata zinachelewa kutokana na Mvua lakini kingine watu wathamini bidhaa za ndani"Abdalah Ali-fundi fanicha

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali