Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabishara zaidi ya 1000 kuondolewa sokoni

Alhamisi , 24th Nov , 2022

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa matunda aina ya tikiti maji katika soko la Tazara Veternary jijini Dar es Salaam wamepewa muda wa hadi Januari mwakani 2023 kuondoka katika eneo hilo ili kupisha uendelezaji na uwekezaji kwa mmiliki husika wa eneo hilo.

Wafanyabiashara wa tikiti

Wakizungumza na EATV leo Novemba 24, 2022, wafanyabiashara hao wa tikiti wameonyesha kutoridhishwa kuondoka katika eneo hilo kwa kile walichodai kwamba soko hilo limekuwa ni soko kubwa katika nchi za Afrika Mashariki na na hivyo wameiomba serikali kuliangalia suala hilo kwa jicho la huruma

Akizungumzia hatua hiyo Makamu Mwenyekiti wa soko hilo Omari Mbwana, amesema atakayeathirika zaidi ni mfanyabiashara na mkulima kwa kuwa tikiti zinazolimwa nchi nzima zinaletwa katika soko hilo hivyo itawachukua muda kupata soko ambalo litazoeleka kama lilivyokuwa soko la Tazara veternary.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa idara ya viwanda, biashara na uwekezaji kutoka Manispaa ya Temeke Ramadhani Gurumukwa, amekiri kuwepo kwa taarifa za kutaka kuondolewa kwa wafanyabiashara hao na kwamba kwa sasa wameshaanza jitihada za  kuwapatia masoko mengine ambayo watatumia wafanyabiashara wa tikiti kufanya biashara zao za tikiti maji.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali