Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabishara zaidi ya 1000 kuondolewa sokoni

Alhamisi , 24th Nov , 2022

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa matunda aina ya tikiti maji katika soko la Tazara Veternary jijini Dar es Salaam wamepewa muda wa hadi Januari mwakani 2023 kuondoka katika eneo hilo ili kupisha uendelezaji na uwekezaji kwa mmiliki husika wa eneo hilo.

Wafanyabiashara wa tikiti

Wakizungumza na EATV leo Novemba 24, 2022, wafanyabiashara hao wa tikiti wameonyesha kutoridhishwa kuondoka katika eneo hilo kwa kile walichodai kwamba soko hilo limekuwa ni soko kubwa katika nchi za Afrika Mashariki na na hivyo wameiomba serikali kuliangalia suala hilo kwa jicho la huruma

Akizungumzia hatua hiyo Makamu Mwenyekiti wa soko hilo Omari Mbwana, amesema atakayeathirika zaidi ni mfanyabiashara na mkulima kwa kuwa tikiti zinazolimwa nchi nzima zinaletwa katika soko hilo hivyo itawachukua muda kupata soko ambalo litazoeleka kama lilivyokuwa soko la Tazara veternary.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa idara ya viwanda, biashara na uwekezaji kutoka Manispaa ya Temeke Ramadhani Gurumukwa, amekiri kuwepo kwa taarifa za kutaka kuondolewa kwa wafanyabiashara hao na kwamba kwa sasa wameshaanza jitihada za  kuwapatia masoko mengine ambayo watatumia wafanyabiashara wa tikiti kufanya biashara zao za tikiti maji.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini