Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima kusaka masoko Kidigitali

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Changamoto ya Masoko inayowakabili wakulima kwa nyakati tofauti za mavuvo ya mazao yao zimeelezwa kuchangiwa na wakulima kutoendana na wakati wa kutumia  teknolojia hivyo utafutaji wa masoko kigitali umetajwa kuwa mwarobaini wa kumkwamua mkulima kimasoko

Hayo yamebainishwa na Taasisi   ya Taarifa ya Masoko  Kigitaki AGROMOVIL Baada ya Kukutana na Umoja wa Wakulima wa Zao la Parachichi NSHDA yenye wakulima zaidi ya Elfu Tano na Kuwataka Wakulima Hao Kutumia Teknolojia ya Kisasa Kwani Humsadia Hata Mkulima Kutuna Kumbukumbu zake

Mkurugenzi Asasi ya wakulima  mkoa wa Njombe na  Bwanashamba kutoka Taasisi ya Maendeleo  ya mazao ya Mboga, Matunda na Viungo (TAHA)  wanasema mfumo wa masoko ya kidigitali utaondoa madalali wanao tarajia kutengeneza faida.

Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo hayo wamesema mfumo huo utawaongezea  tija katika kilimo wanachokifanya.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke