Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima wa Tumbaku Singida kunufaika

Alhamisi , 1st Jun , 2023

Wakulima wa zao la Tumbaku wilayani Manyoni mkoani Singida, wanatarajia kunufaika na kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni tisa na milioni mia saba kupitia vyama vya ushirika baada ya kuzalisha kilogram milioni 2 na laki 1 za Tumbaku msimu huu

Tayari kampuni nne zimejitokeza kununua kwa wastani wa bei ya kitaifa ya dola mbili kwa kilo

Wakizungumza na EATV katika uzinduzi wa soko la tumbaku msimu wa kilimo 2022/2023 iliyofanyika kata ya Mitundu halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, wakulima hao wamezungumzia fursa ya kilimo hicho kwa kuwa miaka kadhaa iliyopita kilimo hicho kilionekana kusuasua kutokana na kukosekana kwa masoko.

Kutokana ongezeko la bei vyama vya ushirika vitanufaika na kutoa hamasa kwa wakulima kuendelea kulima ziadi katika msimu ujao kama anavyosema Anasia Kimambo meneja wa chama kikuu cha ushirika na na masoko kanda ya kati 

Kwa upande wao wanunuzi kutoka kampuni ya Alliance one na Magefa wanasisitiza wakulima kuingiza mazao yao sokoni mapema ili kupata mdaraja yenye ubora na kupata motisha.

Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya Manyoni afisa tarafa ya Itigi Eliuta Kidenya amewataka wakulima hao kupeleka tumbaku bora badala ya kuchanganya na vitu visitakiwa kwa lwngo la kuongeza uzito katika kilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali