Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wamachinga Dar es salaam waomba ulinzi

Jumanne , 4th Oct , 2022

Viongozi wa chama cha wamachinga mkoa wa Dar es salaam wametaka kukomeshwa mara moja kwa makundi ya kihalifu maarufu kama Panyaroad ambapo wamesema baadhi ya wamachinga wamekuwa ni wahanga na makundi hayo na hivyo kuwarudisha nyuma kiuchumi

Wakizungumza na waandishi wa habari leo mwenyekiti wa wamachinga mkoa wa Dar es salaam Namoto Yusuph Namoto licha ya kulipongeza Jeshi la polisi kwa jitihada zake za kupambana na makundi hayo ya kihalifu lakini wametoa wito kwa jamii na wanasiasa kuacha siasa chafu ambazo zitaathiri maana nzima ya Jeshi la polisi katika kusambaratisha makundi hayo

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa wamachinga Steven Simbo amewashauri vijana wanaofanya uhalifu kuacha mara moja na badala yake kwenda kwenye soko hilo kutafuta fursa za kufanya biashara kwani wapo vijana ambao walikuwa wahalifu lakini Kwa sasa waneungana na wenzao kufanya biashara ndogondogo na kuachana na uhalifu

Naye Bakari Said Mkupa ambaye ni mwenyekiti wa wamachinga wilaya ya Ilala ameitoa hofu serikali kwamba panyarroad hawawezr kujichanganya na wafanyabiashara hao Ili kufanya uhalifu kwa kuwa tayari wana kanzi data inayowatambua wafanyabiashara hao hivyo haitakuwa rahisi kufanya uhalifu

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya