Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wahandisi waongezeka Tanzania

Jumatano , 7th Jun , 2023

Licha ya Serikali na wadau kuzidi kuweka mazingira kwa watoto wa kike kujitokeza kwa wingi katika masomo ya Sayansi bado changamoto ipo kwa baadhi ya maeneo ambapo wanawake Wahandisi Tanzania wamesema malengo yao kwa sasa kuwapa morali zaidi wasichana wenye ndoto ya kuwa wahandisi

Kauli hiyo imetolewa na Mhandisi Rehana Juma ambaye ni Mwenyekiti wa wanawake wahandisi Tanzania amesema licha ya changamoto wanazopitia wasichana katika mafunzo yao lakini idadi ya wanawake wahandisi inazidi kuongezeka kila Uchwao.

Hata hivyo kwa upande wake Ester Christopher ambaye ni mhandisi mkongwe wa siku nyingi amesema umekuwa ni utaratibu wao kuandaa maonyesho ya kazi za kibunifu kutoka kwa wahandisi wanawake kutoka kwa wanafunzi wa shule za sekondari na vyuo lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wahandisi wanawake lakini pia kuwapa nafasi wahandisi wachanga ya kukutana na Magwiji kwenye sekta hiyo ya Uhandisi.

Licha ya jitihada mbalimbali ambazo serikali imekuwa ikitoa katika masomo ya sayansi kwa watoto wa kike ili kupata wahandisi wengi zaidi bado vipo baadha ya vikwazo ikiwemo kipato duni kwa baadhi ya familia na uoga.

Wanawake wahandisi kwa mwaka huu watakutana kwa siku mbili visiwani Zanzibar wakiwa na dhima ya pamoja isemayo Nguvu ya ushirikishwaji na uhusihwaji wa wanawake kwenye fani za kihandisi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi