Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za kifedha

Ijumaa , 9th Oct , 2020

Wanawake nchini wametakiwa kuondokana na fikra kandamizi za mfumo dume ambao huwafanya kuhisi kutokuweza kufanya chochote kwa maendeleo hivyo wametakiwa watumie fursa zilizopo katika sekta ya fedha ili kukuza uchumi wao.

Gloria Njiu Mkuu wa kitengo cha huduma cha kidigitali, NCBA.

Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA), Dkt. Mussa Juma katika jukwaa la wanawake la kifedha Tanzania kwa mwaka wa pili linaloratibwa na benki ya NCBA ikishirikiana na asasi nyingine za kifedha kwa lengo la kuwainua wanawake katika sekta za kifedha na kiuongozi.

Akizungumza kwa niaba ya taasisi za kifedha nchini, Bi. Gloria Njiu, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kidigitali cha benki ya NCBA, amesema benki hiyo inahamasika zaidi kuwashika wanawake mkono katika sekta za kifedha na pia imeboresha zaidi huduma zao kwa kuwaletea huduma hizo kiganjani kwa ushirikiano na M-Pawa

Benki ya NCBA inashiriki kwenye Jukwaa la Wanawake la Kifedha linalofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambapo usiku wa leo kunashuhudiwa utoaji wa tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta ya biashara na uchumi hapa nchini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi