
Kocha Erik Ten Hag akimwelekeza jambo Ronaldo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayo Vallecano jumapili iliyopita.

Moja ya kontena lililoteketea

Ferdinand Omanyala mwanariadha wa Kenya- mbio fupi za mita mia moja.
Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza na waandishi wa habari mjini Kasulu leo Agosti 3, 2022, kuhusu utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi hiyo kwa Mwaka 2021/22 na Mwelekeo wa Bajeti ya Mwaka 2022/23 mjini Kasulu, Kigoma.

Kamishna Msaidizi Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Thomas Fussy

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

Mchezo wa raundi ya kwanza wa Simba na Yanga Dabi ya Kariakoo utachezwa Oktoba 23, 2022