Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Tukikaa kimya watoto wetu wataharibika"- Mabula

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Mbunge wa Jimbo la Ilemela Dkt Angeline Mabula ametoa rai kwa wazee kukemea mmomonyoko wa maadili na vitendo visivyo vya kufaa ilikujenga jamii yenye usawa na yenye maendeleo.

Mbunge wa Jimbo la Ilemela Dkt Angeline Mabula

Dkt. Mbaula ametoa rai hiyo wakati akizungumza na wazee jimbo hilo ambapo amewashukuru kwamchango katika kufanikisha ushindi wa chama cha Mapinduzi huku akiwasisitizia kukemea vitendo viovu vinavyofanywa na vijana kupitia mgongo wa siasa.

“Tukikaa kimya watoto wetu wataharibika, lazima tuchukue nafasi yetu katika kuonya, kukosoa, zamani ilikuwa ukikosea mzee yeyote anakuonya anakuchapa au kukusema bila kujali wewe ni mtoto wake wa kuzaa au la “ amesema Dkt. Mbaula

Kwa upande wa wazee katika jimbo hilo wameahidi kuendelea kupambana na vitendo vinaleta mmomonyoko wa maadili kwa vijana na kuchukua hatua ili kuvitokomeza

Aidha Dkt Mabula amewahimiza wazee katika jimbo hilo kuendelea kushirikiana pamoja katika kuhakikisha wanaleta maendeleo ndani ya jimbo na taifa la Tanzania kiujumla.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi