
Kiboko
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohammed Hassan Moyo, ametoa taarifa hiyo wakati akipokea malalamika kutoka kwa wavuvi wanaovua samaki katika bwawa hilo la Mtera.
Kufuatia hali hiyo baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za uvuvi katika bwawa la hilo wameiomba serikali kuvuna wanyama hao ili kupunguza migongano baina yao na wanyama hao ambao wamekuwa wakihatarisha maisha ya wavuvi.