Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nchimbi afunguka tuhuma za kuhalalisha uchangudoa

Alhamisi , 14th Mar , 2019

Mkuu wa mkoa wa Singida, Bi. Rehema Nchimbi, amekanusha taarifa za kuitaka serikali kuhalalisha biashara ya ngono, ili kuongeza mapato katika mkoa wake na taifa kwa ujumla.

Akizungumza na www.eatv.tv. Rehema Nchimbi amekana kuhusika na taarifa hiyo akisema kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu, hivyo hilo ni suala ambalo hawezi kulifanya kamwe.

Akiendelea kuzungumzia hilo Bi. Rehema amesema kwamba mkoa wa Singida uko mstari wa mbele kupinga biashara hiyo huku wakiwa na lengo kwa kuikomesha kabisa, baada ya kuwakamata wanawake wanaofanya biashara ya ngono ambao wanatarajiwa kufikishwa kizimbani hii leo.

Asimulia 

“Nitetee ufuska?, mimi mtumishi wa Mungu, Mshauri wa Askofu kanisa la Anglikana Tanzania, aliyesema hizo taarifa ni mpumbavu, kuna operesheni kubwa katika mkoa wa Singida ya kuwakamata, nafikiri leo au kesho watafikishwa mahakamani, tutawakamata sawa sawa, na yeyote atakayejihusisha nao hao machangudoa tutamkamata, Singida sio ya machangudoa”, amesema.

Hapo jana kumekuwa na taarifa zilizosambaa mitandaoni zinazosema kwamba Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba mkoani Singida, Ndg. Simon Tyosela ameishauri serikali kuhalalisha biashara ya akina dada wanaoujiuza, maarufu machangudoa, jambo ambalo liliungwa mkono na mkuu huyo wa mkoa.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA