Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

ACT waweka msimamo kuelekea Uchaguzi S/Mitaa

Alhamisi , 7th Nov , 2019

Chama cha ACT-Wazalendo, kimemuomba Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, asimamie mwenyewe zoezi la kurejeshwa kwa majina ya wagombea, walioenguliwa katika zoezi la uteuzi wa wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kinyume cha taratibu ili kuhakikisha haki inatendeka.

Katibu Mkuu ACT - Wazalendo Dorothy Semu

Rai hiyo imetolewa leo Novemba 7, 2019, na Katibu Mkuu wa chama hicho Dorothy Semu, ambapo pia chama hicho kimetoa maelekezo kwa wagombea wao nchi nzima, kuhakikisha wanazifuatilia rufaa dhidi ya kutenguliwa kwao kwenye mamlaka husika.

"Tunaiomba TAMISEMI kusimamia kurejeshwa kwa wagombea wetu nchi nzima ambao wameenguliwa majina yao  bila sababu yoyote ya msingi, chama pia kimefanya mawasiliano na vyama vingine vya upinzani ili kuunganisha nguvu ya kukabiliana na hujuma zilizofanyika" amesema Dorothy Semu.

Novemba 5, 2019, Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, aliziagiza kamati za rufaa kusikiliza vyema kero za watu wenye malalamiko, ikiweno za wagombea waliokatwa majina yao na kuhakikisha wanayarejesha ili na wao waweze kupata haki zao za msingi.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa