Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afisa aliyekamata bangi milimani, ateuliwa na Rais

Jumatatu , 6th Jul , 2020

Rais Magufuli amempandisha cheo aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini, Bw. James Kaji na kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo.

Rais Magufuli akimuapisha Kamishna James Kaji

Amefanya uteuzi huo leo, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma alipokuwa akihutubia baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Katibu Tawala wa Mkoa pamoja na Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni, ambapo amemuapisha afisa huyo kuanza kuitumikia kazi yake.

Rais Magufuli amesema amemteua Bw. James Kaji kutokana na kuridhishwa na kazi nzuri anayoifanya, baada ya kutembelea Wilayani Meru na kukamata magunia ya bangi na kuyateketeza.

"Jana nilikuona wa madawa unapita kwenye milima kule, unapita kwenye mji unakuta magunia ya bangi, IGP nataka Mkuu wa Polisi wa Meru aondolewe na Afisa Usalama wa wilaya hiyo naye aondolewe. Wewe Kamishna wa Madawa ya Kulevya leo mimi nakuthibitisha umefanya kazi nzuri. Nataka mambo yaonekane", amesema Rais Magfuli.

"Madawa ya Kulevya mpaka mtu atoke Dar es Salaam ndiyo akayaone wakati hapo kuna Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, OCD?. Kila mmoja afanye majukumu yake, najisikia raha kufanya kazi na watu wachapakazi", ameongeza.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali