Picha ya Madaktari wakifanya upasuaji
Mlilo anataka fidia kutoka kutokana na kumsababishia matatizo makubwa ya kiafya, kiuchumi baada ya kupoteza ajira yake mwaka huu kutokana na ofisi yake kuchoshwa na kuumwa mara kwa mara.
Tatizo hilo aligundua baada ya kwenda katika hospitali ya Parirenyatwa iliyopo Harare na alipofanyiwa vipimo walibaini kuwa ana kisu tumbo, na sasa anaendelea na matibabu.






